Font Size
Yohana 20:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 20:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
9 (Wafuasi hawa walikuwa bado hawajayaelewa yale Maandiko kwamba Yesu alipaswa kufufuka kutoka wafu.)
Yesu Amtokea Mariamu Magdalena
(Mk 16:9-11)
10 Kisha wafuasi wakarudi nyumbani. 11 Lakini Mariamu akabaki amesimama nje ya kaburi, akilia. Aliinama na kuchungulia ndani ya kaburi alipokuwa akilia.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International