Font Size
Yohana 21:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 21:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Ajitambulisha Kwa Wanafunzi Saba
21 Baada ya haya Yesu alijitambulisha tena kwa wanafunzi wake kando ya bahari ya Tiberia. Ilitokea hivi: 2 Simoni Petro, Tomaso aitwaye Pacha, Nathanaeli wa Kana ya Galilaya, wana wa Zebedayo na wanafunzi wengine wawili walikuwa pamoja. 3 Simoni Petro aka waambia wenzake, “Mimi nakwenda kuvua samaki.” Nao wakamwambia, “Tutakwenda pamoja nawe.” Wakatoka, wakaingia ndani ya mashua. Lakini usiku ule hawakupata cho chote.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica