Font Size
Yohana 21:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 21:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
10 Kisha Yesu akasema leteni baadhi ya samaki mliowavua.
11 Simoni Petro akaenda kwenye mashua na kuvuta wavu kuelekea ufukweni. Wavu huo ulikuwa umejaa samaki wakubwa, wapatao 153 kwa ujumla! Lakini pamoja na wingi wa samaki hao, nyavu hazikukatika. 12 Yesu akawaambia, “Njooni mle.” Hakuna hata mfuasi mmoja aliyemwuliza, “Wewe ni nani?” Walijua yeye alikuwa ni Bwana.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International