Font Size
Yohana 21:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 21:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
12 Yesu akawaambia, “Njooni mle.” Hakuna hata mmoja wao aliyethubutu kumwuliza, “Wewe ni nani?” Walijua hakika ya kuwa ni Bwana. 13 Yesu akaenda akachu kua ile mikate na baadaye samaki, akawagawia. 14 Hii ilikuwa ni mara ya tatu Yesu kujitambulisha kwa wanafunzi wake tangu afufuke kutoka kwa wafu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica