Font Size
Yohana 21:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 21:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Kulipopambazuka, Yesu alisimama ufukoni, lakini wale wana funzi hawakumtambua. 5 Yesu akawaambia, “Wanangu, mmepata samaki wo wote?” Wakamjibu, “La.” 6 Akawaambia, “Shusheni wavu upande wa kulia wa mashua yenu nanyi mtapata samaki.” Walivyofa nya hivyo walipata samaki wengi mno hata wakashindwa kuingiza ule wavu uliojaa samaki katika mashua!
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica