Font Size
Yohana 21:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 21:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Wale wanafunzi wengine wakaja kwa ile mashua huku wakivuta ule wavu uliojaa samaki. Hapo walipokuwa wakivua hapakuwa mbali na nchi kavu; ilikuwa kama hatua mia moja hivi.
9 Walipowasili nchi kavu, wakaona moto wa mkaa na samaki wakiokwa juu yake, na mikate. 10 Yesu akawaambia, “Leteni baadhi ya samaki mliovua.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica