Font Size
Yohana 21:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 21:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Wafuasi wengine wakaenda ufukweni katika mashua. Wakazivuta nyavu zilizojaa samaki. Nao hawakuwa mbali sana na ufukwe, walikuwa kadiri ya mita 100[a] tu. 9 Walipotoka kwenye mashua na kuingia kwenye maji, wakaona moto wenye makaa yaliokolea sana. Ndani ya moto huo walikuwemo samaki na mikate pia. 10 Kisha Yesu akasema leteni baadhi ya samaki mliowavua.
Read full chapterFootnotes
- 21:8 mita 100 Au “mikono 200”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International