Font Size
Yohana 3:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 3:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
33 Lakini ye yote anayekubali maneno yake, anathibitisha kwamba aliyosema Mungu ni kweli. 34 Yeye aliyetumwa na Mungu husema maneno ya Mungu kwa maana Mungu amempa Roho wake pasipo kipimo. 35 Baba anampenda Mwanae na amempa mam laka juu ya vitu vyote.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica