Font Size
Yohana 3:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 3:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
34 Yeye aliyetumwa na Mungu husema maneno ya Mungu kwa maana Mungu amempa Roho wake pasipo kipimo. 35 Baba anampenda Mwanae na amempa mam laka juu ya vitu vyote. 36 Ye yote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatauona uzima bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake daima.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica