Font Size
Yohana 3:35-36
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 3:35-36
Neno: Bibilia Takatifu
35 Baba anampenda Mwanae na amempa mam laka juu ya vitu vyote. 36 Ye yote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatauona uzima bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake daima.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica