Font Size
Yohana 3:35-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 3:35-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
35 Baba anampenda Mwana na amempa uwezo juu ya kila kitu. 36 Yeyote anayemwamini Mwana anao uzima wa milele. Lakini wale wasiomtii Mwana hawataupata huo uzima. Na hawataweza kuiepuka hasira ya Mungu.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International