Font Size
Yohana 4:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 4:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Na Mwanamke Msamaria
4 Mafarisayo walisikia kwamba Yesu alikuwa anapata na kuba tiza wanafunzi wengi zaidi kuliko Yohana. 2 Lakini kwa hakika Yesu hakubatiza, wanafunzi wake ndio waliokuwa wakibatiza watu. 3 Bwana alipopata habari hizi aliondoka Yudea akarudi Galilaya.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica