Font Size
Yohana 4:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 4:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Azungumza na Mwanamke Msamaria
4 Yesu akatambua ya kwamba Mafarisayo wamesikia habari kuwa alikuwa anapata wafuasi wengi kuliko Yohana na kuwabatiza. 2 (Lakini kwa hakika, Yesu mwenyewe hakumbatiza mtu yeyote huko; bali wafuasi wake ndiyo waliowabatiza watu kwa niaba yake.) 3 Hivyo akaondoka Uyahudi na kurudi Galilaya.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International