Font Size
Yohana 4:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 4:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Yule mwanamke akamjibu, “Bwana, wewe huna chombo cha kuchotea maji na kisima hiki ni kirefu . Hayo maji ya uzima utay apata wapi? 12 Kwani wewe ni mkuu kuliko baba yetu Yakobo ambaye alitupatia kisima hiki, ambacho yeye pamoja na watoto wake na mifugo yake walikitumia?”
13 Yesu akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki ataona kiu tena.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica