Font Size
Yohana 4:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 4:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 Yesu akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki ataona kiu tena. 14 Lakini ye yote atakayekunywa maji nitakay ompa mimi, hataona kiu kamwe. Maji nitakayompa yatakuwa kama chemchemi itakayobubujika maji yenye uhai na kumpa uzima wa milele.”
15 Yule mwanamke akamwambia, “Bwana, tafadhali nipe maji hayo ili nisipate kiu tena na wala nisije tena hapa kuchota maji!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica