Font Size
Yohana 4:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 4:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
15 Mwanamke akamwambia Yesu, “Bwana, nipe maji hayo. Kisha sitapata kiu na sitapaswa kuja tena hapa kuchota maji.”
16 Yesu akamwambia, “Nenda kamwite mumeo kisha urudi naye hapa.”
17 Mwanamke akajibu, “Lakini mimi sina mume.”
Yesu akamwambia, “Uko sahihi kusema kuwa huna mume.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International