Font Size
Yohana 4:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 4:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Yesu akamwambia, “Nenda kamwite mumeo kisha urudi naye hapa.”
17 Mwanamke akajibu, “Lakini mimi sina mume.”
Yesu akamwambia, “Uko sahihi kusema kuwa huna mume. 18 Hiyo ni kwa sababu, hata kama umekuwa na waume watano, mwanaume unayeishi naye sasa sio mume wako. Huo ndiyo ukweli wenyewe.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International