Font Size
Yohana 6:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 6:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
34 Wakamwambia, “Bwana, tupatie mkate huo sasa na siku zote.
35 Yesu akawaambia, “Mimi ndiye mkate wa uzima. Ye yote ajaye kwangu hataona njaa kamwe, na ye yote aniaminiye, hataona kiu kamwe. 36 Lakini kama nilivyokwisha waambia, mnaniona lakini bado hamtaki kuamini.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica