Font Size
Yohana 6:39-41
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 6:39-41
Neno: Bibilia Takatifu
39 Na mapenzi yake yeye aliyenituma ni haya: kwamba nisimpoteze hata mmoja wa wale alionipa bali niwafufue wote siku ya mwisho. 40 Kwa maana mapenzi ya Baba yangu ni haya: wote wamwonao Mwana na kumwamini wawe na uzima wa milele. Nami nitawafufua siku ya mwisho.”
41 Wayahudi wakaanza kunung’unika kwa kuwa alisema: “Mimi ni mkate ulioshuka kutoka mbinguni.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica