Font Size
Yohana 8:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 8:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Wakamwambia Yesu, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini. 5 Katika sheria, Musa ametuamuru kuwapiga mawe wanawake waliokamatwa wakizini, mpaka wafe. Sasa wewe wasemaje?” 6 Walim wuliza hivi kwa kumtega, kusudi wapate sababu ya kumshtaki. Lakini Yesu akainama chini akaanza kuandika kwa kidole chake mavumbini.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica