Font Size
Yohana 8:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 8:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Walim wuliza hivi kwa kumtega, kusudi wapate sababu ya kumshtaki. Lakini Yesu akainama chini akaanza kuandika kwa kidole chake mavumbini. 7 Walipoendelea kumwulizauliza akainuka, akawaambia, “Asiyekuwa na dhambi kati yenu awe wa kwanza kumtupia jiwe.” 8 Akainama tena akaendelea kuandika chini.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica