Font Size
Yohana 8:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 8:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Walipoendelea kumwulizauliza akainuka, akawaambia, “Asiyekuwa na dhambi kati yenu awe wa kwanza kumtupia jiwe.” 8 Akainama tena akaendelea kuandika chini. 9 Waliposikia haya, wakaanza kuondoka mmoja mmoja, akianza mkubwa wao. Yesu akabaki peke yake na yule mwanamke akiwa amesimama pale walipomwacha.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica