Font Size
Yohana 8:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 8:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Akainama tena akaendelea kuandika chini. 9 Waliposikia haya, wakaanza kuondoka mmoja mmoja, akianza mkubwa wao. Yesu akabaki peke yake na yule mwanamke akiwa amesimama pale walipomwacha. 10 Yesu akasimama akamwuliza, “Mama, wale waliokuwa wanakush taki wako wapi? Hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica