Font Size
Yohana 9:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 9:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Akawaam bia, “Yule mtu aitwaye Yesu alitengeneza tope akanipaka machoni akaniambia niende nikaoshe uso katika kijito cha Siloamu. Nikaenda na mara baada ya kuosha uso nikaweza kuona!” 12 Wakam wuliza, “Huyo mtu yuko wapi?” Akawajibu, “Sijui.”
Mafarisayo Wachunguza Kuponywa Kwa Kipofu
13 Wakampeleka yule mtu aliyeponywa upofu kwa Mafarisayo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica