Font Size
Yohana 9:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 9:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
11 Akawajibu, “Mtu yule wanayemwita Yesu alitengeneza tope akayapaka macho yangu. Kisha akaniambia ‘Nenda kanawe kwenye bwawa la Siloamu.’ Hivyo nikaenda kule na kunawa, na ndipo nikaweza kuona.”
12 Wakamwuliza, “Yuko wapi mtu huyo?”
Akajibu, “Mimi sijui aliko.”
Baadhi ya Mafarisayo Wana Maswali
13 Kisha watu wakampeleka huyo mtu kwa Mafarisayo.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International