Font Size
Yohana 9:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 9:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
12 Wakam wuliza, “Huyo mtu yuko wapi?” Akawajibu, “Sijui.”
Mafarisayo Wachunguza Kuponywa Kwa Kipofu
13 Wakampeleka yule mtu aliyeponywa upofu kwa Mafarisayo. 14 Siku hiyo Yesu aliyomponya ilikuwa siku ya sabato.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica