Font Size
Yohana 9:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 9:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Mafarisayo Wachunguza Kuponywa Kwa Kipofu
13 Wakampeleka yule mtu aliyeponywa upofu kwa Mafarisayo. 14 Siku hiyo Yesu aliyomponya ilikuwa siku ya sabato. 15 Mafar isayo nao wakamwambia awaeleze jinsi alivyopata kuponywa. Naye akawaambia, “Alinipaka tope kwenye macho, nikanawa uso na sasa naona.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica