Font Size
Yohana 9:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 9:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Baadhi ya Mafarisayo Wana Maswali
13 Kisha watu wakampeleka huyo mtu kwa Mafarisayo. 14 Siku Yesu alipotengeneza yale matope na kuyaponya macho ya mtu huyo ilikuwa ni Sabato. 15 Hivyo Mafarisayo wakamwuliza huyo mtu, “Uliwezaje kuona?”
Akawajibu, “Alipaka matope katika macho yangu. Nikaenda kunawa, na sasa naweza kuona.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International