Font Size
Yohana 9:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 9:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Majirani zake na wale wote waliokuwa wamemwona akiomba omba wakauliza, “Huyu si yule kipofu aliyekuwa akiketi hapa akiomba msaada?” 9 Baadhi wakasema, “Ndiye.” Wengine wakasema, “Siye, bali wamefanana.” Lakini yeye akawahakikishia kuwa yeye ndiye yule kipofu ambaye sasa anaona.
10 Wakamwuliza, “Macho yako yalifumbuliwaje?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica