Add parallel Print Page Options

Majirani zake na wengine waliomwona akiomba omba wakasema, “Angalieni! Hivi huyu ndiye mtu yule aliyekaa siku zote na kuomba omba?”

Wengine wakasema, “Ndiyo! Yeye ndiye.” Lakini wengine wakasema, “Hapana, hawezi kuwa yeye. Huyo anafanana naye tu.”

Kisha yule mtu akasema, “Mimi ndiye mtu huyo.”

10 Wakamwuliza, “Kulitokea nini? Uliwezaje kupata kuona?”

Read full chapter