Font Size
Yohana 9:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 9:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
9 Wengine wakasema, “Ndiyo! Yeye ndiye.” Lakini wengine wakasema, “Hapana, hawezi kuwa yeye. Huyo anafanana naye tu.”
Kisha yule mtu akasema, “Mimi ndiye mtu huyo.”
10 Wakamwuliza, “Kulitokea nini? Uliwezaje kupata kuona?”
11 Akawajibu, “Mtu yule wanayemwita Yesu alitengeneza tope akayapaka macho yangu. Kisha akaniambia ‘Nenda kanawe kwenye bwawa la Siloamu.’ Hivyo nikaenda kule na kunawa, na ndipo nikaweza kuona.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International