1 Petro 2:18
Print
Watumwa mlio nyumbani, watumikieni mabwana wenu kwa heshima yote, siyo tu wale walio wapole na wenye busara, bali hata wale walio wakali.
Ninyi watumwa, watiini mabwana wenu kwa heshima yote, si wale mabwana walio wapole na wema peke yao, bali hata wale walio wakali.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica