1 Petro 2:6
Print
Hivyo, Maandiko yanasema, “Tazameni, naweka katika Sayuni Jiwe la msingi katika jengo, lililoteuliwa na kuheshimika, na yeyote anayeamini hataaibishwa.”
Kwa maana imeandikwa katika Maandiko: “Tazama, ninaweka jiwe kuu la msingi huko Sayuni; jiwe la pembeni teule na la thamani kubwa, na kila amwaminiye hataaibika.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica