1 Timotheo 5:17
Print
Wazee wanaoliongoza Kanisa katika njia nzuri wanapaswa kupokea heshima mara mbili; hasa wale wanaofanya kazi ya kuhubiri na kufundisha.
Wazee wa kanisa wanaoongoza shughuli za kanisa vema wanastahili heshima mara mbili, hasa wale ambao kazi yao ni kuhu biri na kufundisha.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica