Font Size
Matendo 4:17
Lakini ni lazima tuwatishe ili wasiendelee kuwaambia watu kutumia jina lile. Ili tatizo hili lisisambae miongoni mwa watu.”
Lakini tunaweza kuzuia jambo hili lisiendelee kuenezwa kwa watu kama tukiwakanya wasiseme tena na mtu ye yote kwa jina la Yesu.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica