Waefeso 4:25
Print
Hivyo mnapaswa kuacha kusema uongo, “Nyakati zote mseme ukweli tu,” kwa sababu wote sisi tunahusiana na ni wa mwili mmoja.
Kwa hiyo, kila mmoja wenu aache kusema uongo, na amwambie ndugu yake ukweli, kwa maana sisi sote ni viungo vya mwili mmoja.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica