Waebrania 7:21
Print
Lakini Yesu akafanyika kuhani kwa kiapo cha Mungu. Mungu alimwambia: “Bwana anaweka ahadi kwa kiapo naye hatabadili mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’”
Bali Yesu alipofa nywa kuhani aliwekewa kiapo wakati Mungu alipomwambia: “Bwana ameapa wala hatabadili nia yake, ‘Wewe ni kuhani milele.”’
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica