Waebrania 8:2
Print
Kuhani wetu mkuu anahudumia katika Patakatifu pa Patakatifu. Anahudumia katika mahali pa hakika kwa ibada palipotengenezwa na Bwana, siyo na mtu yeyote duniani.
Yeye ni mhudumu wa patakatifu katika ile hema ya kweli iliyowekwa na Bwana, na wala si na wanadamu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica