Luka 11:4
Print
Utusamehe dhambi zetu, kama tunavyomsamehe kila mtu anayetukosea. Na usiruhusu tukajaribiwa.’”
Utusamehe dhambi zetu kwa kuwa na sisi tunawasamehe wote wanaotukosea. Na usitutie katika majaribu.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica