Luka 17:14
Print
Yesu alipowaona, akasema, “Nendeni mkajioneshe kwa makuhani.” Wale watu kumi walipokuwa wanakwenda kujionesha kwa makuhani, waliponywa.
Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Na walipokuwa wakienda, wakapona ukoma wao.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica