Font Size
Luka 17:14
Yesu alipowaona, akasema, “Nendeni mkajioneshe kwa makuhani.” Wale watu kumi walipokuwa wanakwenda kujionesha kwa makuhani, waliponywa.
Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Na walipokuwa wakienda, wakapona ukoma wao.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica