Luka 19:38
Print
Walisema, “Karibu! Mungu ambariki mfalme ajaye kwa jina la Bwana! Amani iwe mbinguni, na utukufu kwa Mungu!”
wakasema: “Amebarikiwa Mfalme anayekuja kwa jina la Bwana! Amani mbinguni na Utukufu kwa Mungu.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica