Font Size
Luka 19:46
Akasema, “Maandiko yanasema, ‘Hekalu langu litakuwa nyumba ya sala.’ Lakini mmeligeuza kuwa ‘maficho ya wezi.’”
Akawaambia, “Imeandikwa katika Maandiko, ‘Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala.’ Lakini ninyi mmeigeuza kuwa pango la wanyang’anyi.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica