hutoka nje na kuleta roho zingine saba zilizo chafu zaidi yake. Huingia na kuishi humo, na mtu huyo anakuwa na matatizo mengi kuliko mwanzo wakati roho chafu moja iliishi ndani yake. Ndivyo ilivyo kwa kizazi hiki cha watu wanaoishi leo.”
Kisha huenda na kuwaleta pepo wengine saba, wabaya zaidi kuliko yeye, nao huingia na kuishi huko. Na hali ya mwisho ya mtu huyo inakuwa mbaya zaidi kuliko mwanzo.”