Mathayo 17:18
Print
Yesu akamwamuru pepo aliye ndani ya kijana, na pepo akamtoka na yule kijana akapona.
Yesu akamkemea yule pepo mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona tangu wakati huo.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica