Nabii Isaya alisema kuhusu habari za Yohana Mbatizaji pale aliposema, “Kuna mtu anayeipaza sauti yake toka nyikani: ‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana; nyoosheni njia kwa ajili yake.’”
Huyu ndiye aliyezungumzwa na nabii Isaya aliposema, “Sauti ya mtu anayeita kwa sauti kubwa huko nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Bwana, nyoosheni sehemu zote atakazopitia.’ ”