Mathayo 4:16
Print
Watu wanaoishi katika giza ya kiroho, nao wameiona nuru iliyo kuu. Nuru hiyo imeangaza kwa ajili yao wale wanaoishi katika nchi yenye giza kama kaburi.”
watu wale waishio katika giza wameona nuru kuu; na kwa wale wanaoishi katika nchi ya giza la mauti, nuru imewaangazia.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica