Mathayo 5:42
Print
Mpe kila anayekuomba, usimkatalie anayetaka kuazima kitu kwako.
Mtu akikuomba kitu mpe, na usikatae kumsaidia mtu anayetaka kukukopa.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica