Ufunuo 18:14
Print
“Ee Babeli, mambo mazuri uliyoyataka yamekuacha. Utajiri wako wote na vitu vya fahari vimetoweka. Hautakuwa navyo tena.”
Watasema, ‘Yale matunda ambayo roho yako iliy atamani yametoweka, na utajiri wako wote na ufahari vimetoweka, wala hutavipata kamwe!’
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica