Watasema: “Inatisha! Inatisha kwa mji mkuu! Alivalishwa kitani safi; alivaa zambarau na nguo nyekundu. Alikuwa anang'aa kwa sababu ya dhahabu, vito na lulu!
‘Ole wako! Ole wako! mji mkuu, ulikuwa umevikwa mavazi ya kitani safi, rangi ya zambarau na nyekundu, uking’aa kwa dhahabu na vito vya thamani na lulu!